• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wazazi Watakiwa Kutowaficha Watoto Wakati wa Utoaji Wa Chanjo ya Polio Awamu ya Nne.

Imetumwa: November 29th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Simon Simalenga amewataka wazazi na walezi kuacha tabia ya kuwaficha watoto kwa kuwanyima fursa ya kupata chanjo ya matone ya Polio awamu ya nne ambayo itaanza rasmi kutolewa kwa siku nne kuanzia Disemba Mosi, 2022 kwa watoto wote hata kama alipata chanjo hiyo awamu za awali.

Mkuu wa Wilaya, Mhe. Simon Simalenga ametoa maagizo hayo wakati akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Afya Msingi ya Wilaya ambayo imekutana kwa ajili ya kuweka mikakati ya kutoa chanjo hiyo kwa watoto wengi zaidi ya wale waliopata matone katika awamu ya kwanza, pili hata ya tatu, kikao ambacho kimefanyika Ukumbi wa Social uliopo Kata ya Mkwajuni.

Mhe. Simalenga amesema kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi kuwaficha watoto wakiwanyima nafasi ya kupata chanjo jambo ambalo linahatarisha afya na maisha ya watoto hao, akisema ugonjwa huo ni hatari kama hakutakuwa na kinga za mapema.

“Madhara ya hili gonjwa (Polio) jamani ni makubwa sana, tofauti na unavyoweza kufikiria, lazima tuhakikishe watoto chini ya miaka mitano wanapata chanjo hii”, alisema Mkuu wa Wilaya ya Songwe akizungumza kwenye kikao hicho.

Mhe. Simalenga ameongeza kuwa anahitaji kuona utolewaji wa chanjo ya Polio unaenda kwa kasi ili kufikia makadirio ambayo Wilaya ya Songwe imepangiwa kuwapatia matone watoto kwenye awamu hii ya nne.

Kwa upande wake, Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Songwe Egfrid Mwingiliela ameieleza kamati hiyo kuhakikisha kampeni ya nyumba kwa nyumba inakuwa shirikishi ili mzazi au mlezi kuhamasika kumtoa mtoto wake kupata matone ya chanjo ya Polio.

Wilaya ya Songwe inaingia katika utekelezaji wa awamu ya nne ya utolewaji wa chanjo ya matone ya polio kwa watoto waliochini ya miaka mitano kufuatia utekelezaji wa awamu ya kwanza, pili na hata ya tatu utekelezaji wake kufanikiwa kwa zaidi ya asilimia 100.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.