• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

Imetumwa: June 2nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Solomon Itunda amemwelekeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kuhakikisha anazishirikisha taasisi za serikali katika miradi mbalimbali inayotekelezwa wilayani hapa ili kupunguza changamoto ambazo zinaibuka kutokana na kutoshirikishwa kwa taasisi hizo kama Zimamoto, RUWASA, TANESCO na TARURA.

Mhe. Itunda ametoa maelekezo hayo baada ya ukaguzi wa mradi wa Kituo cha Afya Ifwekenya ambacho kitakaguliwa na kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru 2023 ambapo amesema taasisi zinaposhirikishwa zinaweza kushauri sawa na miongozo yao ili kupunguza kurudia rudia marekebisho ambayo yangefanyika tangu awali.

"Zimamoto wana taratibu zao zakiuokozi panapotokea janga la moto watashauri milango na madirisha yakae kwa mpangilio upi, watu wa maji nao wanajua namna bora ya kusogeza huduma ya maji ...na taasisi nyingine, shirikisheni Taasisi hizi za serikali hususan kwa miradi inayoendelea Wilayani Songwe kujengwa", alisema Mkuu wa Wilaya huyo.

Aidha, Mkuu wa Wilaya huyo ameipongeza Halmashauri inayoongozwa na Mwenyekiti Mhe. Abrahamu Sambila Diwani wa Mbangala pamoja na CPA. Cecilia Kavishe kwa kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya Ifwekenya ambacho kukamilika kwake kitakuwa suluhu ya adha ya wananchi wa Kata hiyo.

Ndg. Abdallah Mgonja, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe amesema kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri baraza la madiwani limetenga fedha shilingi 60,000,000 kwa mwaka wa fedha 2023/24 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo hicho cha Afya ambacho kinajengwa kwa mapato ya ndani kwa asilimia 100 ambapo mpaka sasa kimegharimu zaidi ya milioni 500.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.