• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

Imetumwa: June 5th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Solomon Itunda amewataka viongozi wa vitongoji na vijiji pamoja na Divisheni ya mazingira katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kuhakikisha wanasimamia mpango wa taifa wakupanda miti mitano kwa kaya za mjini na miti kumi kwa kaya za vijijini ukiwa ni mpango wa awali wa utunzaji wa mazingira.

Mhe. @solomonitunda amesema hayo wakati akiongea na wananchi wa kijiji cha Saza Wilayani Songwe katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2023 ambapo amesema upandaji wa miti kwa kushirikiana na wananchi wa maeneo husika ukisimamiwa vizuri utasaidia kuvifanya vyanzo vya maji kudumu muda mrefu, na utasaidia mvua kuendelea kunyesha.

Aidha, Mkuu wa Wilaya huyo amepiga marufuku ujenzi holela ambao umekuwa ukichochea uharibifu wa mazingira, uchimbwaji holela wa madini pamoja na kufanya shughuli za kilimo kwa uvunaji wa misitu holela.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mhe. Abrahamu Sambila akiongea katika maadhimisho hayo amewasihi wananchi wa Kata ya Saza na Wilaya ya Songwe kwa ujumla kuachana na ukataji miti hovyo ili mazingira yaendelee kuvutia mvua.

CPA. Cecilia Kavishe, Mkurugenzi Mtendaji wa Songwe DC akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Songwe wakati wa maadhimisho amesema wamechagua kuadhimisha katika kijiji cha Saza kutokana na shughuli za uchimbaji madini ambazo zimekuwa zinafanywa na wachimbaji wadogo na wakubwa shughuli ambazo zimekuwa zinahusisha ukataji wa miti na uchimbaji karibu na vyanzo vya maji.

Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani huadhimishwa kila mwaka ifikapo Juni 05 ambapo mwaka 2023 maadhimisho hayo yamebeba ujumbe wa "Pinga Uchafuzi wa Mazingira Unaotokana na Taka za Plastiki".

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.