• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanawake Waaswa Kuthubutu Kujifunza Shughuli Za Kiteknolojia

Imetumwa: March 7th, 2023

Wanawake Wilayani Songwe mkoani Songwe wameaswa kuwa wathubutu katika matumizi ya teknolojia kwenye shughuli wanazofanya ili kuendana na kasi ya dunia.

Mwito huo umetolewa na Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Songwe Ndg. Godwin Kaunda ambaye ni Afisa Tarafa ya Songwe Jumanne Machi 08, wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo Kiwilaya yamefanyika Kata na kijiji cha Saza.

Ndg. Kaunda amesema ili wanawake wapate mafanikio makubwa ni lazima waweke kujifunza kwenye teknolojia ambayo itawawezesha kuanzisha miradi ya kisasa kama mashine, viwanda vidogo vidogo kupitia mikopo ya asilimia 10 ambayo hutolewa na Halmashauri mbalimbali nchini kupitia mapato ya ndani.

Kutokana na uwepo wa vikundi ambavyo vina mitaji midogo, Ndg. Kaunda amemsihi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kuongeza ukopeshaji wa fedha kwa wanawake ili waweze kufungua viwanda vitakavyowasaidia kujiimarisha kiuchumi wao binafsi na taifa kwa ujumla.

Kutokana na nasaha hizo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mhe. Godian Wangala ambaye ni Diwani wa Kata ya Totowe amesema kupitia vikao vyao watashauriana na wataalamu kuona namna mikopo ambayo inatolewa iongozwe kwenye vikundi ili viweze kufungua viwanda ambavyo vitaendana na wakati uliopo wa teknolojia kuliko kuendelea kutumia nyezo tata na teknolojia nyingine za zamani.

Pamoja na hayo, Mhe. Wangala amewapongeza wanawake ambao wanamikopo ya asilimia 10 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kwa kuwa vinara katika marejesho kulinganisha na makundi ya vijana na watu wenye mahitaji maalumu.

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila mwaka Machi 08 ingawa hutanguliwa na maadhimisho kama hayo ngazi ya  Wilaya lengo ni kutambua thamani ya mwanamke katika usawa wa kijinsia.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.