• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wakulima Wasisitizwa Kulima Kilimo cha Kisasa

Imetumwa: November 3rd, 2022

Wakulima wa mazao mbalimbali wilayani Songwe mkoani Songwe wameaswa kujikita katika kilimo cha kisasa ambacho kinaelezwa kuwa na tija kubwa kwa mkulima mmoja na mmoja, taifa kijamii na kiuchumi na kijamii.

Kauli ya hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Simon Simalenga Leo Jumatano wakati akizungumza kwenye kikao cha wadau wa kilimo wilayani Songwe kama Meru Agro Tours and Consultant Ltd na kampuni nyingine kikiwa na malengo ya kuona namna ya kumwinua mkulima kwa kumpatia mbolea na pembejeo za kilimo kwa wakati na bei rafiki kilichofanyika katika ofisi za mkuu wa wilaya hiyo.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Simalenga amesema dhana ya kuwa Wilaya ya Songwe ina rutuba nzuri kiasi kwamba haipaswi kutumika mbolea na pembejeo nyingine za kisasa imepitwa na wakati hivyo wakulima ni muhimu kuanza kutumia mbolea na mbegu za kisasa ili kuongeza uzalishaji sawa na maeneo mengine kama Wilaya ya Mbozi.

Mhe. Simalenga amesema uwepo wa mbolea ya ruzuku ni nia ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuona wakulima wanainuka kiuchumi kwa kuongeza uzalishaji wa mazao mengi na bora ili kushindana sokoni na mataifa jirani.

Pia, Mhe. Simalenga amewataka wauzaji na mawakala wa mbolea na pembejeo ambao hawana ofisi makao makuu ya wilaya (Mkwajuni) kuanzisha ofisi eneo hilo ili kuwapunguzia gharama wakulima ya kusafiri umbali mrefu kufuata mbolea.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mhe. Wangala akichangia katika kikao hicho ameeleza umuhimu wa wakulima wakimemo wakulima wa korosho kupewa elimu ya namna ya kujihusisha na kilimo bora na cha kisasa, ambapo amesema baadhi ya wakulima hawana misingi ya kilimo cha kisasa.

Abdukadir Mfilinge, Afisa Kilimo na Umwagiliaji Wilaya ya Songwe amewahimiza wakulima ambao bado hawajajiandikisha kwenye mfumo wa kupata mbolea ya ruzuku kujiandikisha kwenye maeneo husika kwani lengo la serikali ni kuona kila mkulima ananufaika na punguzo hilo.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.