• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

"Toeni Taarifa Sahihi Kwa Maendeleo ya Nchi Yetu" - Katibu Tawala Wilaya

Imetumwa: March 23rd, 2023

Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Songwe Ndg. Chesko Mbilinyi amewahimiza Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule, Waalimu Wakuu na Waalimu wa Takwimu kuandaa na kutoa taarifa sahihi kwenye mfumo ambazo zitaiwezesha Halmashauri ya Wilaya ya Songwe na taifa kwa ujumla kupanga mipango ya maendeleo.

Kaimu Katibu Tawala huyo ametoa rai hiyo wakati akifungua mafunzo kwa washiriki hao yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Maweni iliyopo Mkwajuni Leo Alhamis Machi 22, ambapo amewasisitiza umuhimu wa kutoa taarifa sahihi ambazo hazijapikwa.

Ndg. Mbilinyi amesema kama kutakuwa na upikaji wa taarifa katika ngazi za chini kutakuwa na mipango ambayo haiendani na idadi ya wanafunzi, waalimu na miundombinu mingine.

"Tunataka taarifa sahihi, bila taarifa sahihi hatutaweza kupanga bajeti yenye uhalisia. Upanga wa bajeti nzuri inayoakisi mahitaji yetu inategemea taarifa ambazo zitaifikia Halmashauri na serikali Kuu" alisema Chesko Mbilinyi ambaye alikuwa mgeni rasmi wa mafunzo hayo.

Kaimu Afisa Elimu Sekondari Alumine Kaminyoge ameeleza kuwa mafunzo hayo kama kila mmoja atayatumia vizuri yatakuwa chachu kwenye jamii kwani kutakuwa na maendeleo sawa na mahitaji.

Anthony Jamula, Mwezeshaji wa mafunzo ambaye pia ni Afisa Elimu Vifaa na Takwimu, Idara ya Elimu Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Songwe ameeleza kuwa mafunzo yanalenga kuwajengea uwezo washiriki ili kuanzia Aprili Mosi taarifa zianze kujazwa kwenye mfumo, akisisitiza kwamba siyo tu taarifa bali taarifa sahihi.

Mafunzo hayo ya siku moja yamelenga kuongeza hamasa ya uandaaji wa taarifa sahihi za shule [School Information System] na Sensa ya Elimu [Annual School Census].

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.