• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Songwe Yajivunia Maendeleo ya Miaka 61 ya Uhuru

Imetumwa: December 9th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Simon Simalenga amesema Tanganyika imeyafikia maendeleo makubwa katika miaka 61 ya Uhuru akiwataka watanzania kujivunia maendeleo hayo.

Mhe. Simalenga amesema hayo wakati akifungua kongamano la kujadili maendeleo ambayo Wilaya ya Songwe imeyafikia tangia taifa la Tanganyika kuwa huru mnamo 09.12.1961.

Ametaja amani, mshikamano, na upendo uliopo, masuala ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao kulinganisha na miaka hiyo akisema haya ni maendeleo ambayo Tanzania Bara imeyapata kwa sababu kama taifa ni wamoja na wenye upendo, akisema mataifa ambayo hayana amani ni vigumu kupata maendeleo kwenye nyaja za kiuchumi.

Katika hatua nyingine, Mhe. Simalenga amesisitiza juu ya wakulima na wafugaji kulima na kufuga kisasa akisema katika miaka 61 ya Uhuru hakuna haja ya mfugaji kuendelea kufunga kimazoea, bila tija, wala mkulima kulima kilimo cha asili wakati mbinu bora zipo kama kutumia mbolea na pembejeo nyingine za kilimo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe CPA. Cecilia Kavishe akizungumza katika kongamano hilo amewaeleza wajumbe na wananchi juu ya maendeleo mbalimbali yaliyofikiwa kwa wakati huu ambayo hayakuwepo nyakati Tanzania Bara inapata Uhuru wake mwaka 1961.

Mkurugenzi Mtendaji CPA. Cecilia Kavishe ameeleza kuwa miradi mingi ambayo sasa wanasongwe wanajivunia kama Ujenzi wa Vituo vya Afya, Zahanati, Shule ya Sekondari na Msingi ambazo zinajengwa ikiwemo madarasa ya Uviko, pamoja na utolewaji wa huduma bora kwa wananchi ni sehemu ya mambo ambayo serikali kupitia awamu mbalimbali za uongozi imezifanya kwa manufaa ya watanzania wenyewe.

Naye Abdukadir Mfilinge, Afisa Kilimo na Umwagiliaji akieleza mafanikio ambayo Wilaya imeyapata kwenye  kilimo amesema taifa limepiga hatua kubwa mathalani Wilaya ya Songwe inategemea kilimo kama chanzo cha mapato ambapo ukiondoa madini, mazao ya kilimo ni chanzo cha pili kwenye ukusanyaji wa mapato.

Mmoja wa washiriki wa kongamano hilo Musa Twalib ameomba miradi yote ya maendeleo iwe shirikikishi ili jamii ijione ni sehemu ya huo mradi suala ambalo litasaidia hata katika kuulinda.

Kongamano la miaka 61 ya Uhuru 2022 lilikuwa na Kauli Mbiu ya "Amani na Umoja ni Nguzo ya Maendeleo Yetu" ambapo kwa mwaka huu maadhimisho yake yamefanyika kwa kila Wilaya kuandaa sherehe zake.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.