• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mzazi Mpeleke Mtoto Shule, Hata Bila Sare.

Imetumwa: January 5th, 2023

Wakati masomo ya mhula wa kwanza kwa shule za sekondari na msingi nchini yakitegemewa kuanza Januari 09, 2023, wazazi wametakiwa kuwapeleka watoto shule kwa ajili ya kuanza kidato cha kwanza.

Wito huo umetolewa na Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Songwe Stephen Bange wakati akiongea ofisini kwake kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe ambapo amesema umefika wakati wa wazazi kutambua umuhimu wa elimu, na kuachana na visingizio rahisi kama kukosa sare (uniform).

Bange amesema serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi kujenga na kuboresha mazingira ya elimu ikiwemo utoaji wa elimu bila malipo hivyo jamii inapaswa kuhamasika vya kutosha, akisema ifikapo Januari tisa mtoto yeyote anayepaswa kuwa darasani awe darasani bila kujalisha ana sare au hana.

"Kila mwanajamii anatakiwa kusisitiza mtoto aende shule, hakuna namna nyingine ya Songwe (Wilaya) kujikomboa kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa n.k bila kupata elimu. Hii ni elimu bila malipo, usipoipata sasa utaipata lini", alisema Bange

Afisa Elimu Sekondari huyo amesema Halmashauri ya Wilaya ya Songwe katika mwaka wa masomo 2023 inategemea kupokea wanafunzi 2,364 ambapo wanafunzi wote wataanza kusoma kwa pamoja kwani fedha zilizotengwa milioni 180 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan zimewezesha ujenzi wa vyumba vya madarasa tisa na madawati wakati awali kulikuwa na mahitaji ya vyumba saba pekee.

Halmashauri ya Wilaya ya Songwe imekamilisha maandalizi ya kuwapokea wanafunzi hao kwani itakumbukwa Disemba 20, Mkurugenzi Mtendaji CPA Cecilia Kavishe alimkabidhi Kaimu Katibu Tawala Wilaya Chesko Mbilinyi vyumba vya madarasa tisa, Ofisi (Kanga Sekondari) na madawati vikiwa tayari kwa ajili ya kusomea watoto wa kidato cha kwanza wa mwaka 2023.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.