• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mulugo Atimiza Ahadi ya Pikipiki Galula

Imetumwa: March 27th, 2023

Mbunge wa Jimbo la Songwe Mhe. Philipo Mulugo amewafuta machozi watumishi wa Jeshi la Polisi katika Kituo kidogo cha Polisi cha Galula Wilayani Songwe kufuatia kutimiza ahadi ya kuwanunulia Pikipiki ambayo aliahidi kuwapatia Disemba 31, mwaka 2022.

Akikabidhi Pikipiki hiyo kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Songwe Maria Kway, Leo Jumatatu Machi 27, 2023, Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Songwe Agapto Thomas Kilongozi amesema utoaji wa pikipiki hiyo ni sehemu tu ya mambo mengi ambayo yamekuwa yakitekelezwa na Mhe. Mulugo katika kuhakikisha huduma bora zinapatikana kwa wananchi.

Amesema mbunge mbali na kutoa pikipiki tayari amesaidia kufanya maboresho katika Kituo cha Polisi cha Wilaya ikiwemo upatikanaji wa maji safi na salama.

"Mheshimiwa [Mulugo] yeye huwa anatoa huduma tu kwa Polisi kwa sababu anajua bila Polisi wananchi hawawezi kufanya shughuli za kiuchumi kwa amani", alisema Kilongozi ambaye ameeleza kuwa pikipiki hiyo imegharimu shilingi milioni 2,500,000 mpaka inafika Mkwajuni.

Maria Kway, Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Songwe akizungumza baada ya kukabidhiwa pikipiki hiyo kama msimamizi mkuu wa Polisi Wilayani hapa amemshukuru Mhe. Mulugo kwa kutimiza ahadi waliyomuomba pamoja na kuendelea kutoa misaada mbalimbali kwa Jeshi la Polisi.

Hata hivyo, Mrakibu Mwandamizi huyo amewaomba wadau wengine wa Polisi kuendelea kukishika mkono kituo hicho ili kifanane na hadhi ya Wilaya.

Kwa upande wake, Mkuu wa Kituo cha Polisi Galula Petro Charles Masota ambaye atakuwa mlinzi wa kwanza wa pikipiki hiyo amesema usafiri huo utaenda kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za Kipolisi Galula kwa wananchi.

Zoezi la ugawaji wa pikipiki hiyo uliofanyika Kituo cha Polisi Wilaya ya Songwe umehudhuriwa na Mkuu wa Kituo cha Polisi Saza, Galula na Mtendaji wa Kata ya Mkwajuni.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.