• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Simalenga! Undeni Makundi "Groups" Za Whatsaap.

Imetumwa: November 10th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Songwe mkoani Songwe Mhe. Simon Simalenga amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kuwa na utamaduni wa kuwasiliana na kujuliana hali ili kudumisha upendo miongoni mwa watumishi hao kwa kuunda makundi "groups" za Whatsaap katika kutengeneza udugu kati yao.

Mhe. Simon Simalenga ametoa mwito huo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Songwe ukiwa ni utaratibu wa kawaida wa kuwa na vikao vya kila baada ya muda, ambapo ameeleza kuwa kutokana na utafiti alioufanya amebaini kuwa kumekuwa na uhafifu wa mawasiliano kati ya mtumishi na mtumishi, watumishi wa makao makuu na watumishi waliopo nje ya makao makuu (HQ) suala linalopelekea utoaji wa huduma kuwa hafifu pia.

Mhe. Simalenga amehusisha uhafifu wa mawasiliano na uhafifu katika utoaji wa huduma kwa wananchi ambapo ameelekeza kuwa kwa sasa makundi yaundwe kuanzia idara husika na kundi la watumishi kwa ujumla ili kuwasiliana na kupeana faraja wakati wa dhiki.

"Kila mmoja anapambana na matatizo yake, hata likimshinda hana sehemu ya kuuliza, hiyo haiwezekani". Alisema Mhe. Simalenga wakati kikao hicho kilichofanyika ukumbi wa Sambila.

Mkuu huyo wa Wilaya ameongeza kuwa endapo kutakuwa na mawasiliano na mahusiano ya karibu ambayo kwa wakati huu wa teknolojia huletwa na mitandao ya kijamii ikiwemo Whatsaap utolewaji wa huduma kwa wananchi utaimarika, watumishi watashirikiana katika kutatua matatizo na changamoto za wananchi ambapo pia kutakuwa na umoja miongoni mwa watumishi wa makao makuu, wakuu wa idara na wale wa nje ya Halmashauri.

Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Songwe kutoka idara ya Elimu Msingi na Sekondari, Kilimo na Madereva wakizungumza kwenye kikao hicho wamesema tayari wameanza kutekeleza kwa vitendo agizo la Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kwa kuunda makundi ya Whatsaap ambayo sasa yanawaunganisha pamoja.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.