• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

"Tukusanye Ushuru Kirafiki " - DED Songwe

Imetumwa: March 20th, 2023
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe CPA Cecilia Kavishe amewataka watumishi wanaohusika na ukusanyaji wa mapato kutumia njia shirikishi wakati wa ukusanyaji kuliko kutumia mabavu ambayo amesema hayatakuwa na matokeo endelevu.

CPA Cecilia Kavishe ametoa agizo hilo wakati akizungumza kwenye kikao na Wenyeviti wa waendesha Bajaji, Bodaboda na Mwenyekiti wa Wafanyabishara wa Stendi Mpya Kata ya Mkwajuni na Wilaya ya Songwe ambapo amesema Bodaboda na waendesha bajaji wakipewa elimu kuhusu umuhimu wa ushuru watatoa bila usumbufu.

Amesema lazima washirikishwe, wajue kinachoendelea na kitawaletea faida zipi wao wenyewe na serikali kwa ujumla ambapo ametolea mfano wa mapato ya vibanda vya sokoni ambavyo vilikuwa na shida kubwa katika ukusanyaji lakini saizi Halmashauri imekuwa ikikusanya baada ya kuwashirikisha.

"Muda mwingine tunapata changamoto kwenye kukusanya ushuru kwa sababu hatujawaelimisha. Wapeni elimu, washirikishine ili walipe na waone matokeo yake", alisema CPA Cecilia Kavishe wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ofisini kwake Leo Jumatatu Machi 20, 2023.

Katika hatua nyingine, Mkurugenzi Mtendaji huyo amewasihi waendesha bajaji na pikipiki kwa jinsia zote kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 10 ambayo imekuwa ikitolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kupitia mapato ya ndani.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Mwenyekiti wa Bajaji Kata ya Mkwajuni Noah Shitente, Mwenyekiti wa Bodaboda Godfrey Fredrick na Yusta Abel Mwakilishi wa uongozi wa Wafanyabishara wa Stendi Mpya ya Wilaya ambao wameishukuru Halmashauri kwa kuwashirikisha katika mipango yao pamoja na kuomba wawe wanapewa taarifa mapema za mabadiliko ya ushuru na kodi mbalimbali.

Matangazo

  • HAYA HAPA MAJINA YA WANANCHI WALIOPATA VIWANJA ENEO LA KALOLENI NA SAZA October 03, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II SONGWE DC April 03, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI SONGWE DC December 07, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Siku ya Mazingira Duniani 2023: Utunzaji wa Mazingira Wasisitizwa Wilayani Songwe

    June 05, 2023
  • DC Songwe Ataka Taasisi Za Serikali Zihusishwe Kwenye Ujenzi wa Miundombinu

    June 02, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Magamba Waishukuru Halmashauri ya Songwe kwa Kuanzisha Stakabadhi Ghalani

    May 24, 2023
  • ALAT Yaipongeza Songwe DC Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kisasa

    May 05, 2023
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.