• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DED Songwe Atoa Motisha Ifwenkenya Sekondari

Imetumwa: November 12th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe CPA Cecilia Kavishe ametoa kiasi cha shilingi laki moja (100,000) kwa Wanafunzi wawili ambao wamekuwa wakifanya vizuri kwenye mitihani ya Wilaya na Mkoa hasa mtihani wa Mock uliofanywa karibuni.

Mkurugenzi Mtendaji CPA Kavishe ametoa fedha hizo Leo Ijumaa Novemba 12, 2021 baada ya kuwatembelea Wanafunzi wa kidato cha nne na kushiriki chakula cha mchana pamoja, ikiwa ni sehemu ya kuwahamasisha Wanafunzi hao kuelekea kwenye mtihani wa mwisho utakaoanza Jumatatu Novemba 15.

CPA Kavishe akizungumza baada ya kushiriki chakula cha pamoja amesema amefika kuwakumbusha umuhimu wa elimu ambapo amewataka Wanafunzi hao kutofuata ushauri wa baadhi ya watu wakiwemo wazazi/walezi ambao wamekuwa wakiwarubuni wafanye vibaya kwenye mitihani.

"Asitokee mtu aseme ufanye vibaya kwenye mtihani, elimu ni muhimu kuliko kitu kingine. Hata kama hakuna ajira ni bora usome kuliko kudanganyana mtaani".

Mhe. Pius Omboka, Diwani wa Kata ya Ifwenkenya akizungumza baada ya tukio hilo amesema ni tukio la kihistoria tangia alipoanza siasa kushuhudia Mkurugenzi Mtendaji akishiriki chakula cha pamoja na Wanafunzi na kutoa fedha yake ya mfukoni kwa ajili ya kuwahamasisha Wanafunzi, "Sitasahau".

Rose Mwakalindile, Kaimu Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Songwe amempongeza Mkurugenzi Mtendaji CPA Kavishe kwa kujitoa kiasi hicho cha fedha pamoja na kutenga muda wake kushiriki chakula cha pamoja licha ya kuwa na ratiba ngumu.

CPA Kavishe baada ya kutoa kiasi hicho Wanafunzi hao Pili Makenzi na Idi Mandai wamegwana elfu 50,000 kwa kila mmoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU March 23, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TANGAZO

    March 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    February 14, 2022
  • Silinde Apongezi Kasi, Ubora wa Majengo ya Uviko-19 Songwe.

    November 22, 2021
  • DED Songwe Asherekea Kuzaliwa Kwake na Wanafunzi wa Sekondari Kapalala.

    November 13, 2021
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.