• Maswali |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Songwe District Council
Songwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Tehama
      • Ukagazi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma Za Maji
  • Madiwani
    • orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu Afya Na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kikao cha madiwani
      • Meeting With Chairman Of Council
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Utangulizi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fom ya Maombi
    • Utangulizi
    • Mpango Kazi
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Kilichoongelewa
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Simalenga Afunga Mafunzo Jeshi la Akiba Songwe

Imetumwa: November 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Simon Simalenga akiwa ameambatana na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mhe. Shaibath Kapingu na Mkurugenzi Mtendaji CPA Cecilia Kavishe amefunga mafunzo ya Jeshi la Akiba zoezi lililofanyika kijiji cha Iseche Kata ya Mwambani Leo Ijumaa Novemba 12, 2021 yakishuhudiwa na Wananchi wa vijiji vyote vya Kata hiyo.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, Mkuu wa Wilaya Mhe. Simalenga amewataka wahitimu hao kuchangamkia fursa za ajira ndani na nje ya Wilaya ya Songwe.

Amesema kwa sasa madarasa yanajengwa, ni fursa, Vituo vya Afya vinajengwa ni fursa, hali kadhalika miradi mengine ya Serikali itaanza kujengwa hivyo vijana lazima wawe karibu na washiriki kwenye kila fursa ambayo inajitokeza mbele yao.

Aidha, akijibu moja ya changamoto katika hafla hiyo, DC Simalenga ameahidi kutoa fedha za kushonea sare kwa wahitimu 20, wanaobakia watanoshonewa kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji CPA Cecilia Kavishe amesema Halmashauri itapnga utaratibu mzuri wa kuwatumia vijana hao kwenye miradi ya maendeleo kwani wameonyesha kuwa na juhudi na ari ya kufanya kazi.

Mafunzo ya Jeshi la Akiba ni utaratibu wa nchi ambapo kila mwaka yamekuwa yakifanyika katika maeneo mbalimbali nchini, mwaka huu Wilayani Songwe takribani vijana 152 wamehitimu mafunzo hayo huku Wanawake wakiwa 12 pekee.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU March 23, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TANGAZO

    March 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    February 14, 2022
  • Silinde Apongezi Kasi, Ubora wa Majengo ya Uviko-19 Songwe.

    November 22, 2021
  • DED Songwe Asherekea Kuzaliwa Kwake na Wanafunzi wa Sekondari Kapalala.

    November 13, 2021
  • Ona Zote

Video

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
Ziada Video

Kurasa za Karibu

  • PReM
  • PlanRep System
  • FFARS System
  • STMIS system
  • Mfumo wa kuomba ajira za walimu kwa njia ya mtandao
  • Tovuti ya kuomba Ajira Serikalini

Viungio Vinavyoshabiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • e-Government Agency
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Ofisi ya Rais Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali ya Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe

Watazamaji Duniani

world map hits counter

Watazamaji Wageni

Dissertation-WritingService.com

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mkwajuni-Kimborokoto - Saza Road

    Anuani ya Posta: P.o.Box 77 Mkwajuni Songwe

    Mawasiliano: +255 (025) 2520301

    Simu: +255 (025) 2520301

    Barua Pepe: ded@songwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma Zetu

Copyright ©2020 Songwe District Council . All rights reserved.